LIGI KUU ZANZIBAR, MCHEZO KATI YA KIMBUNGA NA KIPANGA, KIPANGA YAIBUKA NA USHINDI WA BAO 1-0 - KATUMA BLOG tz.

HABARI ZA HIVI PUNDE

KWA HABARI ZA UHAKIKA NA KUAMINIKA


Post Top Ad

Responsive Ads Here

Sunday, December 20, 2015

LIGI KUU ZANZIBAR, MCHEZO KATI YA KIMBUNGA NA KIPANGA, KIPANGA YAIBUKA NA USHINDI WA BAO 1-0





 Mshambuliaji wa Timu ya Kipanga akimpita beki wa Timu ya Kimbunga
 Kipa wa Timu Kimbunga akioko moja ya mpira golini kwao wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan Timu ya Kipanga imeshinda 1--0.
 Mchezaji wa Timu ya Kipanga na Kimbunga wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan Timu ya Kipanga imeshinda 1--0.
Mshambuliaji wa timu ya Kipanga akimpita Beki wa Timu ya Kimbunga wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan Timu ya Kipanga imeshinda 1--0

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here