NAIBU WAZIRI WA AFYA ATEMBELEA WAGONJWA WA KIPINDUPINDU KITUO CHA AFYA KARAKANA - KATUMA BLOG tz.

HABARI ZA HIVI PUNDE

KWA HABARI ZA UHAKIKA NA KUAMINIKA


Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday, November 13, 2015

NAIBU WAZIRI WA AFYA ATEMBELEA WAGONJWA WA KIPINDUPINDU KITUO CHA AFYA KARAKANA

 Baadhi ya Wagonja walifikishwa Hospitalini hapo kwa ajili ya kupatiwa matibabu  baada ya kupata maradhi ya matumbo ya kuharisha (kipindupindu)
 Mwandishi wa Habari Rahma Suleiman akichukuwa maelezo kwa Mgonjwa aliyefika katika kituo hicho mara baada ya kupata hujambo
  Naibu Waziri wa Afya  Mahmoudu Thabiti Kombo akionyesha ramani ya maeneo yanayoathiriwa zaidi na ugonjwa wa maradhi ya matumbo
Naibu Waziri wa Afya Mahmoud Thabiti Kombo akinawa mikono, maji aliyotiwa dawa mara baada ya kuwatembelea wagonjwa hao  ili kujikinga na maradhi hayo.
  Naibu Waziri wa  Afya  Mahmoud Thabit  Kombo akipata maelezo kwa Dokt. Dhamana  Fadhili Ramadhan  wakati alipotembelea wagonjwa wa maradhi ya kuharisha (kipindupindu) katika kituo cha Afya kiliopo Sheha ya Karakana
Naibu Waziri wa Afya akiwapa maelezo baadhi ya waandishi wa Habari juu ya kujikinga na maradhi ya matumbo ya kuharisha (kipindupindu) mara baada ya kutembelea kituo hicho.  (PICHA NA MIZA OTHMAN, MAELEZO ZANZIBAR)

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here