CCM KUMEKUCHA UBUNGE, JERRY SLAA, MTEMVU NA ZUNGU WAJITOSA - KATUMA BLOG tz.

HABARI ZA HIVI PUNDE

KWA HABARI ZA UHAKIKA NA KUAMINIKA


Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, July 15, 2015

CCM KUMEKUCHA UBUNGE, JERRY SLAA, MTEMVU NA ZUNGU WAJITOSA

 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi8JvZezVFOgkZhTSDkLjjIDlTq8rG4OeLeJ8kSxTYkBNjtYgmpHnX0vRr2P6TpxyVhYrM3PnWquVcnuF0I7dycZjk0sDUS-ideweEwPx02vrNLLS9WimhaQvvpO7V-H4vTdCBnAQaaBT0Q/s1600/DSC_0686.jpg

Na Mwandishi wetu

Mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea ubunge katika majimbo mbalimbali kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) yakiwamo Ilala, Temeke na kinondoni umeanza rasmi leo kupitia ofisi za wilaya za chama hicho.

Wanachama waliochukua fomu kwa jimbo la Ukonga ni   Jerry Slaa, Jacob Kasema, Hamza Mshindo na Fredrick Rwegasira, huku waliochukua fomu katika jimbo la Segerea kuwa ni Zahoro Lyasuka,Apruna Jaka, Bonna Kalu.

Huku Musa Azzan Zungu akichukua kwa jimbo la Ilala na mwenzake wa Wilaya ya Temeke akiwa ni  Mbunge wao  Abbas Mtemvu ambaye anagombea jimbo hilo kwa mara nyingine tena.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here