Mkutano Mkuu wa 34 wa mwaka wa Chama cha Afya ya Jamii Tanzania - KATUMA BLOG tz.

HABARI ZA HIVI PUNDE

KWA HABARI ZA UHAKIKA NA KUAMINIKA


Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, August 14, 2017

Mkutano Mkuu wa 34 wa mwaka wa Chama cha Afya ya Jamii Tanzania


Na Mwandishi Wetu

Chama cha Afya ya Jamii Tanzania (TPHA) kimetangaza mkutano wa mkuu wa 34 wa mwaka ambapo kauli mbiu ya mwaka huu ni Sera za Afya kwanza katika utekelezaji wa malengo 17 ya Maendeleo endelevu 2016-2030.


Wadau wa maendeleo hasa idara za  Serikali, Sekta Binafsi, Vyuo Vikuu, Taasisi za Utafiti na Mashirika yasio ya kiserikali na ya kimataifa na wananchi kwa ujumla wameombwa kuwakilisha andiko litakalosomwa kwenye mkutano huo na kisha kujadiliwa na hata kufikia maazimio ya pamoja mkutano huo kwa mwaka huu unatarajia kufanyika mkoani Singida.





No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here