HIVI NDIVYO DIAMOND PLATNUMZ ALIVYOFUNGA MWAKA DAR LIVE - KATUMA BLOG tz.

HABARI ZA HIVI PUNDE

KWA HABARI ZA UHAKIKA NA KUAMINIKA


Post Top Ad

Responsive Ads Here

Saturday, December 26, 2015

HIVI NDIVYO DIAMOND PLATNUMZ ALIVYOFUNGA MWAKA DAR LIVE

IMG_7348Diamond Platnumz akisema na mashabiki wake waliofurika Dar Live usiku wa kuamkia leoIMG_7989Diamond akicheza na mashabiki wake waliofurika Dar Live.
IMG_7359Akicheza na wacheza shoo wake wa kike.IMG_1416Nyomi ya kufa mtu ndani ya Dar Live wakiendelea kumshangilia Diamond.IMG_7371Wacheza shoo wa kike wa Diamond wakifanya yao.IMG_7324Diamond akiwachombeza mashabiki. IMG_7325Diamond akicheza na wacheza shoo wake wa kiume. IMG_7344Akiongea na mashabiki. IMG_7377
IMG_7379 IMG_7383Diamond akifanya yake na wacheza shoo wake.IMG_7390Diamond baada ya kuwakonga nyoyo mashabiki wake waliofurika Dar Live na wao kuridhika aliamua kupozi nao kwa picha hii. IMG_7432Nyomi ya kutisha ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live. IMG_7455
IMG_7973Diamond akizidi kuwapa raha mashabiki wake wa Dar Live. IMG_7927Mashabiki baada ya kupagawa na shoo. IMG_7975...Akiongea na mashabiki wake. IMG_7991Akiwasalimia mashabiki.(PICHA: MUSA MATEJA, RICHARD BUKOS/GPL)

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here