HII NDIO SIMU INAYOWEZA KUOSHWA KWA MAJI NA SABUNI - KATUMA BLOG tz.

HABARI ZA HIVI PUNDE

KWA HABARI ZA UHAKIKA NA KUAMINIKA


Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday, December 4, 2015

HII NDIO SIMU INAYOWEZA KUOSHWA KWA MAJI NA SABUNI

Ziko simu za kisasa ambazo teknolojia yake inaruhusu  kukutana na maji na haiharibiki lakini sio simu zote zina uwezo huo !! Nakukutanisha na headlines za Wajapan ambao wameamua kuja na simu ambayo utaweza kuisafisha kwa maji na sabuni.


Japan wamethibitisha kwamba simu hizo zimepewa jina la Digno Rafre na zitazinduliwa rasmi wiki ijayo na kuingia kwenye rekodi za kuwa simu ya kwanza yenye uwezo wa kusafishwa kwa maji.


Hii ni nukuu ya alichokisema Boss wa Kampuni hiyo >>> “Timu yetu ilijaribu kuziosha simu hizo zaidi ya mara 700 kwa ajili ya kupima uimara wake.”


Hii hapa video ya tangazo la simu yenyewe mtu wangu.


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here