MAGUFULI RAIS AWAMU YA TANO - KATUMA BLOG tz.

HABARI ZA HIVI PUNDE

KWA HABARI ZA UHAKIKA NA KUAMINIKA


Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, October 29, 2015

MAGUFULI RAIS AWAMU YA TANO



 
Na Mwandishi Wetu , Katuma Blog tz
HATIMAYE Tume ya Taifa ya Uchaguzi Imemrangaza Mgombea Urais Kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kuwa Rais Mteule wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hivyo Magufuli anaungana na Mgombea Mwenza, Mama Samia Hassan Suluhu ambaye atakuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Tutaendelea kukujuza mchanganuo zaidi… endelea kufuatilia.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here