Msanii
huyo alitangazwa kuibuka na ushindi wa nafasi hiyo baada ya kupata kura 34 kati
ya 39 zilizopigwa.
Kwa
sasa anaingia katika nafasi ya kutafuta idhaa ya vijana wa CCM Taifa ili
kujihakikishia nafasi katika bunge lijalo na hivyo amevuka hatua ya kwanza
muhimu.
Akizungumza
baada ya kutangazwa mshindi juzi, Uwoya alisema wanawake wanaowania nafasi ya
Ubunge katika majimbo na wale wanaowania nafasi ya Udiwani katika kata
wanakumbwa na changamoto mbalimbali kubwa ikiwa ni uwezo wa kupambana na mifumo
dume.
Katika
mchuano huo aliyemfuata alikuwa ni Mariam Shamte aliyepata kura 3 huku Zahara
Muhidin Michuzi akipata kura 2.
No comments:
Post a Comment