PODOLSKI ATUA GALATASARY - KATUMA BLOG tz.

HABARI ZA HIVI PUNDE

KWA HABARI ZA UHAKIKA NA KUAMINIKA


Post Top Ad

Responsive Ads Here

Sunday, July 5, 2015

PODOLSKI ATUA GALATASARY



MSHAMBULIAJI Lukas Podolski ameihama Arsenal na kujiunga na Galatasaray, kwa mujibu wa mabingwa hao wa Uturuki na jana alitarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya yake kukamilisha uhamisho huo.

Mjerumani huyo mwenye umri wa miaka 30, alijiunga na Arsenal akitokea FC Koln ya kwao mwaka 2012 kwa ada ya pauni milioni 11 na alifunga mabao 31 katika mechi 82 kwa klabu hiyo ya London.
Podolski aliisaidia kubeba Kombe la FA mwaka 2013, lakini alitumia sehemu ya pili ya msimu uliopita akiwa kwa mkopo Inter Milan.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here