MKUU WA MKOA DAR NA WAANDISHI WA HABARI WALIVYOOSHA MAGARI KUCHANGIA WAANDISHI WENYE MATATIZO - KATUMA BLOG tz.

HABARI ZA HIVI PUNDE

KWA HABARI ZA UHAKIKA NA KUAMINIKA


Post Top Ad

Responsive Ads Here

Sunday, July 5, 2015

MKUU WA MKOA DAR NA WAANDISHI WA HABARI WALIVYOOSHA MAGARI KUCHANGIA WAANDISHI WENYE MATATIZO

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Mecky Sadick akiosha pikipiki ya Blogger Mroki Mroki 'Father Kidevu' (kushoto kwake)  wakati wa harambee  kuosha Magari katika viwanja vya Leaders Club kwa ajili ya kuchangia Fedha kwa waandishi wa Habari ambao wanamatatizo ya Kiafya ikiwemo Saratani.
 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akiosha pikipiki hiyo baada ya kuzidi dau na kufanya jumla ya shilingi 150,000/= kupatikana kwa kuosha pikipiki hiyo.
Mdauhuyu nae alikuja na Baiskeli yake kwaajili ya kushiriki zoezi hilo na baikeli hiyo ilichangiwa 40,000/= ili ioshwe. Daudi Mambya akiosha baiskeli hiyo na kuchangia waandishi.

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh. Meck Sadick akizindua zoezi la kuosha Magari katika viwanja vya Leaders Club kwa ajili ya kuchangia Fedha kwa waandishi wa Habari ambao wanamatatizo ya Kiafya ikiwemo Saratani . PICHA ZAIDI FATHER KIDEVU BLOG

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here