TECNO yaja na maboresho ya kamera za simu - KATUMA BLOG tz.

HABARI ZA HIVI PUNDE

KWA HABARI ZA UHAKIKA NA KUAMINIKA


Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday, August 11, 2017

TECNO yaja na maboresho ya kamera za simu

 
Katika kupiga picha, mwanga una nafasi ya msingi na unaweza kuleta utoofauuti kati ya
picha nzuri na isiyo nzuri.

Mara nyingi watu wamekua wanachanganya kati ya picha iliyopigwa simu na ile
iliyotengenezwa kwa kompyuta kutokana na mwanga wa picha hizo.

Moja kati ya Simu nzuri zilizoko sokon inaywezesha kupiga picha na kumridhisha mtumiaje ni Tecno Camon CX Limited Edition. Kamera ya nyuma ya simu hii inakuja ikiwa na uvumbuzi wa kuwekewa  ringi  iliyojazwa flashi, uvumbuzi huu unaleta  matokeo mazuri kwani unaweza kunyonya giza na kutoa picha zilizo na mng’aro wa asilimia 40 zaidi kuliko picha za kamera za simu zingine.

Tecno Camon CX Manchester City limited Edition  ina flashi ambazo ni laini kwa  asilimia 200 hivyo inasaidia picha inayopigwa kwa  simu hii kutoka na mng’aro wa uhakika, rangi  na pia kutokua na matokeo ya vidoti vyekundu katika macho picha itakapopigwa  na simu hii. Kamera ya simu inakuja na teknolojia maalumu ya “4 in 1” Teknolojia hii inawezesha  picha  kua ang’avu Zaidi kwa asilimia 30. 

Kamera  ya Mbele ya Simu hii ya Tecno Camon CX Manchester City Limited Edition inakuja na flashi mbili za mbele katika mstari , flashi hizi zinasaidia picha zinazopigwa  katika mwanga mdogo au mazingira yanayoendana na hayo zitooke zikiwa na zinaonekana  vizur, hivyo watumiaji wa kamera  hii maarufu kama wapenda “selfie” watapata kile kilicho bora.




No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here