SERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA SEKTA YA UVUVI - KATUMA BLOG tz.

HABARI ZA HIVI PUNDE

KWA HABARI ZA UHAKIKA NA KUAMINIKA


Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, December 3, 2015

SERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA SEKTA YA UVUVI

uv2Afisa Uvuvi kutoka Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Bw. Silas William akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu hatua zinazochukuliwa na Serikali katika kuwainua wavuvi wadogo hapa nchini ili kushiriki katika kukuza uchumi wa Taifa. Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Bi Fatma Sobo.mwisho kushoto ni Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini kutoka Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na uvuvi Bi Judith Mhina.
uv3Baadhi ya Maafisa kutoka Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi wakifuatalia mkutano wa Wizara hiyo na waandishi wa habari uliofanyika leo Jijini Dar es salaam.
uv4Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakifuatilia mkutano kati yao na Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi ambao pamoja na mambo mengine ulibainisha kuwa Serikali imejipanga kukomesha uvuvi haramu hapa nchini hasa kwa kutumia mabomu kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais,Wizara ya Mali asili na Utalii, Wizara ya Nishati na Madini,Wizara ya mambo ya Ndani na ile ya Katiba na Sheria.
(Picha na Frank Mvungi-Maelezo)

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here