TANZANIA YAANDIKA HISTORIA MPYA - KATUMA BLOG tz.

HABARI ZA HIVI PUNDE

KWA HABARI ZA UHAKIKA NA KUAMINIKA


Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, October 29, 2015

TANZANIA YAANDIKA HISTORIA MPYA

 
 
Kwa mara ya kwanza Tanzania imeandika historia mpya ya kuwa na Makamu wa Rais wa kwanza Mwanamke.
 
Mama Samia Hassan Suluhu amekuwa Makamu wa Rais Mteule baada ya Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli kupitishwa kuwa Rais Mteule wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Awamu ya Tano.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here