UJERUMAN YAISAIDIA SERIKALI YA TANZANIA SH.BILION 39.1 - KATUMA BLOG tz.

HABARI ZA HIVI PUNDE

KWA HABARI ZA UHAKIKA NA KUAMINIKA


Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, August 13, 2015

UJERUMAN YAISAIDIA SERIKALI YA TANZANIA SH.BILION 39.1



Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kulia) akibadilishana hati ya makubaliano na Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania, Mhe. Egon Kochanke (kushoto) katika hafla ya utiaji saini wa mikataba 2 ya sekta za maji, afya na maliasili leo alhamisi (Agosti 13, 2015) Jijini Dar Es Salaam.



Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (wa kwanza kulia) akisaini hati ya makubaliano katika hafla ya utiaji saini wa mikataba 2 ya sekta za maji, afya na maliasili leo alhamisi (Agosti 13, 2015) Jijini Dar Es Salaam. Wa pili kulia ni Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania, Mhe. Egon Kochanke.



Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile akiongea na baadhi ya viongozi wa Wizara hiyo, ujumbe wa ulioandamana na Balozi wa Ujerumani pamoja na waandishi wa habari mara baada ya utiaji saini wa mikataba 2 ya sekta za maji, afya na maliasili leo alhamisi (Agosti 13, 2015) Jijini Dar Es Salaam.



. Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania, Mhe. Egon Kochanke akiongea na baadhi ya viongozi wa Wizara ya Fedha, wajumbe kutoka Ujerumani pamoja na waandishi wa habari mara baada ya utiaji saini wa mikataba 2 ya sekta za maji, afya na maliasili leo alhamisi (Agosti 13, 2015) Jijini Dar Es Salaam.




Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kulia) akiteta jambo na Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania, Mhe. Egon Kochanke leo alhamisi (Agosti 13, 2015) Jijini Dar Es Salaam wakati wa hafla ya utiaji saini wa mikataba 2 ya sekta za maji, afya na maliasili.




Baadhi ya wajumbe wa ulioandamana na Balozi wa Ujerumani wakimsikiliza Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (hayupo pichani) alipokuwa anaongea wakati wa hafla ya utiaji saini wa mikataba 2 ya sekta za maji, afya na maliasili leo alhamisi (Agosti 13, 2015) Jijini Dar Es Salaam.




Baadhi ya viongozi kutoka Wizara ya Fedha, wajumbe kutoka Ujerumani pamoja na waandishi wa habari waliohudhuria hafla ya utiaji saini wa mikataba 2 ya sekta za maji, afya na maliasili leo alhamisi (Agosti 13, 2015) Jijini Dar Es Salaam.

(Picha na Eleuteri Mangi-MAELEZO)

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here