HIVI NDIVYO JIJI LA DAR ES SALAAM LILIVYOSIMAMA HABARI IKIWA MOJA TU LOWASSA KUCHUKUA FOMU YA URAIS NEC - KATUMA BLOG tz.

HABARI ZA HIVI PUNDE

KWA HABARI ZA UHAKIKA NA KUAMINIKA


Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, August 10, 2015

HIVI NDIVYO JIJI LA DAR ES SALAAM LILIVYOSIMAMA HABARI IKIWA MOJA TU LOWASSA KUCHUKUA FOMU YA URAIS NEC



2.Hali ilivyokuwa katika barabara ya Bibi Titi na Morogoro.
Hali ilivyokuwa katika barabara ya Bibi Titi na Morogoro.
3.Wafuasi wa vyama vinavyounda ukawa wakiwa kwenye gari kuelekea Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kwa ajili ya kumsindikiza Mgombea Urais kupitia Ukawa,Edward Lowassa.
Wafuasi wa vyama vinavyounda Ukawa wakiwa kwenye gari kuelekea Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa ajili ya kumsindikiza Mgombea Urais kupitia Ukawa, Edward Lowassa.
4...umati uliofurika .
…umati uliofurika.
5.Harakati za kuelekea kusindikiza mgombea Urais zikiendelea barabra ya Bibi Titi.
Harakati za kuelekea kusindikiza mgombea Urais zikiendelea barabara ya Bibi Titi.
6.Wafuasi wa vyama vyote wakiwa juu ya gari lao kuelekea tume ya Taida ya Uchaguzu NEC kumsindikiza Lowassa.
Wafuasi wa vyama vyote wakiwa juu ya gari lao kuelekea Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumsindikiza Lowassa.
7.Gari la Mhe.Lowassa likisindikizwa kuelekea Makao makuu ya Chama Cha Demokrosia na Maendeleo (CHADEMA) Kinondoni mara baada ya kuchukua fomu.
Gari la Mhe. Lowassa likisindikizwa kuelekea Makao makuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kinondoni mara baada ya kuchukua fomu.
8.Wananchi barabarani hali ilivyokuwa wakimlaki Lowasa kwa kuonesha ishara ya Chadema.
Wananchi barabarani wakimlaki Lowassa kwa kuonesha ishara ya Chadema.
9.Ulizi yluviimalika.
Ulinzi ulivyoimarishwa.
10Mnyekiti wa Chama cha Demokrosia na Maendeleo,Freeman Mbowe alipowasili katika ofisi za Chama Cha wananchi CUF asubuhi msafara ulipoanzia.
 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrosia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe alipowasili katika ofisi za Chama Cha wananchi (CUF) asubuhi ya leo kabla ya msafara kuanza.
11.James Lembeli akisalimiana na mmoja wa viongozu wanaounda Ukawa.
James Lembeli akisalimiana na mmoja wa viongozi wanaounda Ukawa.
12.kamanda  mkuu  wa  kikosi cha kutuliza Ghasia FFU Ukonga akibadilisha jambo  na  mlinzi wake  wa  karibu kama inavyoonekana pichani
Kamanda mkuu wa kikosi cha kutuliza Ghasia (FFU) Ukonga akibadilisha neno na askari mwenzake kama inavyoonekana pichani.
13.Ester Bulaya(aliyeko juu ya garu kulia akiwa kwenye msafara huo.
Ester Bulaya (aliyeko juu ya gari kulia akiwa kwenye msafara huo.
14.Taswila ya msafara wa Lowasa.
Taswira ya msafara wa Lowasa.
11856528_766736266770683_4263750936932267814_o Maelfu ya wananchi wa jiji la Dar kumsindikiza kuchukua fomu mgombea Urais wa Chadema, Edward Lowassa kwenda NEC kuanzia ofisi za CUF.


Hatimaye mgombea urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Waziri Mkuu mstaafu Edward Ngoyai Lowassa leo amechukua fomu ya kugombea  nafasi hiyo katika Makao Makuu  ya Tume  ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Awali, mgombea huyo alianzia Makao Makuu ya Chama cha Wananchi (CUF), Buguruni, Dar es Salaam  kisha kuelekea Tume yaTaifa ya Uchaguzi kwa kupitia barabara ya Uhuru, Bibibti Mohamed  hadi Makao Makuu  ya Tume hiyo.
Baada ya hapo, msafara wake ulipititia Barabara ya Ocean Road  kisha Umoja  wa  Mataifa, Ally Hassan Mwinyi hadi   Makao Makuu ya CHADEMA yaliyopo Kinondoni, jijini Dar es Salaam.
Katika msafara huo,  umati  mkubwa  wa  wapenzi  na wakereketwa  wa mgombea huyo walijitokeza  kumsindikiza .


Wananchi wamejitokeza kwa wingi leo kumsindikiza Edward Lowasa kwenda kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Mandeleo (CHADEMA).


Msafara ulianza rasmi kutoka katika ofisi za chama hicho kupitia ofisi za CUF na kuhitimisha katika ofisi za NEC Taifa.




























Jiji la Dar es salaam leo ilikuwa kama ni sikukuu hivi baada ya LOWASA kufunga kazi za watu na kuambatana nao kwenda kuchukua form ya Urais,hapa kuna picha ambazo tumezinasa katika tukio hilo zikionyesha matukio ambayo yamesisimua sana katika matembezi hayo yaliyozunguka sehemu kubwa ya jiji la Dar es salaam leo hii,Huyu ni mbunge Tundu Lissu akiwa ameshikilia kadi yake ya mpiga kura akiwaonyesha wanachama waliojitokeza leo
Bodaboda
Yero
Katika hali ya kushangaza gari la maabusu lilipita maeneo yale wakati likienda mahakamani na ikawabidi kusimama na kuanza kushangilia kwa ishara ya vidole viwili yani CHADEMA

1 comment:

Post Top Ad

Responsive Ads Here