Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Dkt. Hassan Abbas
akizungumza na waandishi wa habari mara baada kukamatwa kwa watu wanaodaiwa
kutaka kusajili gazeti kwa nyaraka za kughushi leo jijini Dar es Salaam. Kulia
ni Kaimu Msajili wa Idara ya Habari Maelezo, Patrick Chipangula na Afisa Habari
wa Idara ya Habari MAELEZO, Lilian Lundo.
Watuhumiwa waliotaka kusajili gazeti kwa nyaraka za kugushi wakiwa
chini ya ulinzi leo jijini Dar es Salaam.
Watuhumiwa waliotaka kusajili gazeti kwa nyaraka za kugushi wakiwa
chini ya ulinzi leo jijini Dar es Salaam, tayari kuelekea kituo cha polisi
kati. (Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii)
No comments:
Post a Comment