BABU TALE ALALA POLISI, AFIKISHWA MAHAKAMA KUU - KATUMA BLOG tz.

HABARI ZA HIVI PUNDE

KWA HABARI ZA UHAKIKA NA KUAMINIKA


Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, August 2, 2016

BABU TALE ALALA POLISI, AFIKISHWA MAHAKAMA KUU

MENEJA wa msanii Diamond Platnumz, Hamis Taletale “Babu Tale” amefikishwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam akitokea kituo cha polisi ambako alilala jana baada ya mahakama kutoa amri ya kukamatwa kutokana na kutotii amri iliyomtaka amlipe Sheikh Hamis Mbonde Sh milioni 250.

Babu Tale ambaye alifika mahakamani hapo mapema kabla ya kuitwa kwa kesi hiyo iliyoanza saa 10:40  asubuhi, miguuni alikuwa amevalia kandambili huku akisindikizwa na Mkurugenzi wa Mkubwa na Wanawe,  Said Fella pamoja na msanii chipukizi wa Bongo fleva kutoka lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Raymond.

Meneja huyo anatakiwa alipe fedha hizo kutokana na kuvunja mkataba kati yake na Shekhe Mbonde, kwa  kuuza na kusambaza  nakala za mawaidha (DVDs) bila ridhaa ya Shekhe huyo, jambo ambalo ni kinyume na haki miliki.

Wakili wa upande wa mdai, Mwesiga...Isome zaidi kesho katika Gazeti la HabariLeo 

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here