RAIS MAGUFULI AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MASHUJAA DODOMA - KATUMA BLOG tz.

HABARI ZA HIVI PUNDE

KWA HABARI ZA UHAKIKA NA KUAMINIKA


Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, July 25, 2016

RAIS MAGUFULI AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MASHUJAA DODOMA

shuj2 
Msafara wa Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt John Pombe Magufuli ukiwasili kwenye uwanja wa Mashujaa tayari kwa maadhimisho hayo yaliyofanyika  katika Mnara wa kumbukumbu ya Mashujaa  mjini Dodoma leo Julai 25, 2016 (PICHA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-DODOMA NA IKULU)
shuj4 
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Mashujaa tayari kwa kuongoza maadhimisho hayo yaliyofanyika  katika Mnara wa kumbukumbu ya Mashujaa  mjini Dodoma leo Julai 25, 2016
shuj2 
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt John Pombe Magufuli akiielekea kwenye mnara wa kumbukumbu tayari kwa kuongoza maadhimisho ya mashujaa  katika Mnara wa kumbukumbu wa Mashujaa  mjini Dodoma leo Julai 25, 2016
shuj8 
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt John Pombe Magufuli akitoa heshima mara baada ya kuweka Sime na ngao  katika Mnara wa kumbukumbu ya Mashujaa alipoongoza Madhimisho ya Siku ya Mashuja mjini Dodoma leo Julai 25, 2016

shuj6 
Baadhi ya askari wa vikosi vya majeshi ya ulinzi na usalama vikiwa vimejiweka tayari kwa ajili ya maadhimisho ya kumbukumbu  ya mashujaa iliyoadhimishwa leo kwenye uwanja wa Mashujaa mjini Dodoma.
shuj7 
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt John Pombe Magufuli akielekea kwenye mnara tayari kwa  kuweka Sime na ngao  katika Mnara wa kumbukumbu ya Mashujaa alipoongoza Madhimisho ya Siku ya Mashuja mjini Dodoma leo Julai 25, 2016
shuj1 
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt John Pombe Magufuli akikabidhiwa  Sime ili kuweka  katika Mnara wa kumbukumbu ya Mashujaa alipoongoza Madhimisho ya Siku ya Mashuja mjini Dodoma leo Julai 25, 2016
shuj9 
 Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt John Pombe Magufuli akiweka Sime katika Mnara wa kumbukumbu ya Mashujaa alipoongoza Madhimisho ya Siku ya Mashuja mjini Dodoma leo Julai 25, 2016
shuj8 
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt John Pombe Magufuli akitoa heshima mara baada ya kuweka Sime na ngao  katika Mnara wa kumbukumbu ya Mashujaa alipoongoza Madhimisho ya Siku ya Mashuja mjini Dodoma leo Julai 25, 2016
shuj9shuj4 
Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli pamoja na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange wakiwa wamesimama na viongozi mbalimbali wakati wa maadhimisho hayo yaliyofanyika kwenye uwanja wa Mashujaa mjini Dodoma leo.
shuj1 
Viongozi mbalimbali wa serikali,vyama vya siasa wakiwemo wabunge wakiwa  katika maadhmisho hayo mjini Dodoma leo.
shuj5 
Kutoka kulia ni Mke wa Rais Mama Janet Magufuli, Mwenyekiti wa TLP Bw. Agustino Mrema. Spika mstaafu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Amer Pandu Kificho, Waziri wa mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba. Waziri wa Ulinzi Dk. Hussein Mwinyi, Mwanasheria mkuu wa Serikali Mh. George Masaju na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi wakiwa katika maadhimisho hayo.
shuj7 
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt John Pombe Magufuli na Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi wakimpongeza Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Malecela baada ya kuongea na wananchi kwenye Madhimisho ya Siku ya Mashuja mjini Dodoma leo Julai 25, 2016
shuj11 
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt John Pombe Magufuli akiongea na wananchi baada ya kuweka silaha za jadi katika  Mnara wa kumbukumbu ya Mashujaa alipoongoza Madhimisho ya Siku ya Mashujaa mjini Dodoma leo Julai 25, 2016
1 
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt John Pombe Magufuli akiongea na wananchi baada ya kuweka silaha za jadi katika  Mnara wa kumbukumbu ya Mashujaa alipoongoza Madhimisho ya Siku ya Mashujaa mjini Dodoma leo Julai 25, 2016
maj1 
Mh. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi katika maadhimisho hayo.
shuj13 
Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein akiongea wakati wa Madhimisho ya Siku ya Mashuja mjini Dodoma leo Julai 25, 20
shuj10 
Baadhi ya wananchi wakishangilia wakati Rais Dk. John Pombe Majaliwa alipokuwa akizungumza katika maadhimisho hayo.
shuj12 
Baadhi ya viongozi waliohudhuria maadhimisho hayo wakifuatilia hotuba ya Waziri Mkuu wakati alipokuwa akiwasalimia wakazi wa Dodoma waliohudhuria maadhimisho hayo kutoka kushoto ni Naibu Spika Tulia Akson, Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar   Mhe Mohammed Said Mohammed Dimwa, Mke wa Rais Mama Janet Magufuli na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wakiwa katika maadhimisho hayo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here