MASHINDANO YA MAKAMPUNI YALIYOANDALIWA NA KAMPUNI YA POPULAR SPORTS AND ENTERTAINMENT TANZANIA LTD UWANJA WA DUCE CHANGOMBE JIJINI DAR ES SALAAM YAFANA - KATUMA BLOG tz.

HABARI ZA HIVI PUNDE

KWA HABARI ZA UHAKIKA NA KUAMINIKA


Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, March 22, 2016

MASHINDANO YA MAKAMPUNI YALIYOANDALIWA NA KAMPUNI YA POPULAR SPORTS AND ENTERTAINMENT TANZANIA LTD UWANJA WA DUCE CHANGOMBE JIJINI DAR ES SALAAM YAFANA

 Mchezaji Frank Peter wa Banc ABC (kulia), akijitahidi kumtoka  Kambili John wa Ramada katika mashindano ya makampuni yaliyofanyika Uwanja wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Ualimu Dar es Salaam (DUCE), Chang'ombe jijini Dar es Salaam leo asubuhi. Mashindano hayo yaliandaliwa na Kampuni ya Popular Sports and Entertainment Tanzania Ltd.
 Hapa ni kazi tu uwanjani.
 Kikosi kamili cha Timu ya Ramada.
 Kikosi cha Ramada kikiomba dua.

 Kikosi cha Banc ABC
 Kikosi cha Uhai FC
 Kikosi cha AAR
 Mtanange ukiendelea.
 Hapa mchezaji wa Banc ABC, Nicholaus Mwakijega akiwatoka wachezaji wa Ramada. Kushoto Omari Juma na kulia ni Abdul.
 Ramada wakitoka uwanjani kifua mbele baada ya kuwashinda Banc ABC bao 1-0
Hapa kiatu kiatu uwanjani.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here