HILI NDILO JENEZA LA MZEE OJWANG LILIVYOKUWA - KATUMA BLOG tz.

HABARI ZA HIVI PUNDE

KWA HABARI ZA UHAKIKA NA KUAMINIKA


Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday, July 17, 2015

HILI NDILO JENEZA LA MZEE OJWANG LILIVYOKUWA

 
Hii si ramani wala picha ya nyumba bali ni Jeneza la aliyekuwa mchekeshaji maarufu wa kikundi cha vichekecho cha Vitimbi  la nchini Kenya, Mzee Ojwang,  hapa ni siku ambayo mwili wake ulikuwa ukiagwa.  Mzee Ojwang  alifariki dunia hivi majuzi Hospitali ya Jomo Kenyatta alipokuwa amelazwa. Mzee Ojwang aliwahi kutamba Afrika Mashariki pamoja na waigazaji wenzake, Mwala na Mama Kayayii.
Mzee Ojwang enzi za uhai wake


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here