| Mgombea wa urais kwa tiketi ya chama cha ADC CHIEF YEMBA akiwa na yeye amerejesha form hapa tume ya taifa ya uchaguzi |

| Kutoka ACT ni mwenyekiti wake ANNA MGWIRA akiwa anaondoka makao makuu ya NEC mara baada ya kurejesha form yake |
| Hashimu Rungwe mgombea urais wa tiketi ya chama cha umma CHAUMA akiwa anawasili kurejesha form kwa ajili ya kugombea Urais |
| Kutoka UPDP ni FAHMI DOVUTWA mwenyekiti akiwasili NEC |



No comments:
Post a Comment