Hata hivyo
Liverpool imesema kuwa haiko tayari kufanya biashara na wapinzani wao wakuu
kutoka Kaskazini Magharibi.Mkufunzi wa kilabu ya Manchester United Luois Van Gaal anavutiwa na kasi ya mchezaji huyo na uwezo wake wa kuwaponyoka mabeki.
Sterling amekataa ombi la kitita cha pauni laki moja kutoka kwa Liverpool akisema kuwa anataka kuondoka na kuchezea klabu ambayo ina uwezo wa kushinda mataji.
No comments:
Post a Comment